Ezekiel 37:16-17

16 a“Mwanadamu, chukua fimbo na uandike juu yake, ‘Hii ni kwa ajili ya Yuda na Waisraeli waliofungamana naye.’ Kisha chukua fimbo nyingine, uandike juu yake, ‘Fimbo ya Efraimu, ni kwa ajili ya Yosefu na nyumba yote ya Israeli wanaofungamana naye.’ 17 bZiunganishe pamoja kuwa fimbo moja ili kwamba ziwe fimbo moja katika mkono wako.

Copyright information for SwhNEN